Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,745
- 51,213
Kizuriiiii na mguu umekaa humo vyema
Kizuriiiii na mguu umekaa humo vyema
Vimguu vya kukuna hivi vikiwasha niite
Daaaa ushanichanganya....ngoja nikaitafute ilipo niweke kwenye kopo la maji ya kunywa watu wasijueNiliweka picha ya mbege mpendwa



Umesahau kwenye ule uzi wa tag avatar mvutio, niliku tag banah
Khaaa ila jamani raia
Ilipokuwepo mbona hakuna aliyewahi kuisifia nimeitoa ndiyo unaisifia jamani kweli
Najua kwa mbege na kisusio huchoki 😂😂Daaaa ushanichanganya....ngoja nikaitafute ilipo niweke kwenye kopo la maji ya kunywa watu wasijue![]()
Pichi blakiWhat's your body color?
Mimi niliisifia mpendwa
Khaaa ila jamani raia
Ilipokuwepo mbona hakuna aliyewahi kuisifia nimeitoa ndiyo unaisifia jamani kweli
Pouwa mchumba za wewe

Ahaa kweli nimekumbuka basi naomba nisamehe kakaUmesahau kwenye ule uzi wa tag avatar mvutio, niliku tag banah




Mmhh mpendwa uliisifia lini tena jamaniMimi niliisifia mpendwa
Miss u more darlin me niko frsh hofu kwako tu![]()
![]()
Nimekumiss upo poa lakini
Sawa haya basi utabadilishaAhaa kweli nimekumbuka basi naomba nisamehe kaka![]()


Hofu kwangu ondoa, nipo fiti my love kama kawa, naparangana na hii life, usiwe kimya sana nawe, unapoteaga naweMiss u more darlin me niko frsh hofu kwako tu
Si unajua simu naazimaga dear mwenye nayo siku akiamka ubavu uwa ananinyanganyaHofu kwangu ondoa, nipo fiti my love kama kawa, naparangana na hii life, usiwe kimya sana nawe, unapoteaga nawe

Utapata iphone macho matatu sasa hivi, jitume tuSi unajua simu naazimaga dear mwenye nayo siku akiamka ubavu uwa ananinyanganya![]()


