Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mi mtoto wa bush wewe
Tena nimezaliwa kijijini.

Kudeka kupo maana mziwanda ni mziwanda tu Ila ratiba ya kwenda shambani iko palepale na mwaka huu lazima niende kupanda.
Kumbe mziwanda ndiyo maana unahisi duniani upo mwenyewe unavodeka(lastborns mna shida sana)😀😀, kuwa makini huko shamba usije ukatupandia mchele na mpunga 🏃‍♀️
 
Kumbe mziwanda ndiyo maana unahisi duniani upo mwenyewe unavodeka(lastborns mna shida sana), kuwa makini huko shamba usije ukatupandia mchele na mpunga
Bado sijaenda
Mawazo ya kwenda yanakuja na kupotea
Nadhani watafanya vibarua na inabidi awepo mmoja kuwasimamia


Mama alisema hawezi poteza nauli yake kunisafirisha kwenda shambani
 
Endelea hivyo hivyo mpaka uje utokelezee huku Mwanza wenyeji tupo tutakupokea...and probably for the first time in your life uje ule ugali mpaka ushibe

View attachment 1637899
Mungu wangu 😲😲😲😲

Cha kwanza.....si ntazimia kwa ugali huo??? 😓😓
Cha pili....huo sindio mwanzo wa kuibiwa na kuchunwa ngozi huo???🤔🤔
 
Bado sijaenda
Mawazo ya kwenda yanakuja na kupotea
Nadhani watafanya vibarua na inabidi awepo mmoja kuwasimamia


Mama alisema hawezi poteza nauli yake kunisafirisha kwenda shambani
Umeona sasa hadi mama anahofia nauli yake sababu anakufahamu cha kudeka wake😀 utaishia kusinzia tu huko shamba. Lastborns bana😀😀
 
Karibu area D,
lizzy, ulikuja kuapishwa nini haha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wolf bana.....sikutarajia kucheka ila umenichekesha sana. Kwanza i had tu think about it for a sec..kuapishwa?🤔 ndo nikakumbuka ishu za mjengoni.

Nshakaribia...asanteee 🙂🙂 Zabibu tunaenda kula wapi??
 
Dodoma mko vizuri sana!!!Mpaka toothbrush na dawa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
20201129_234332.jpg
 
Tunafuata na tumeipa..kwani shida iko wapi???
Si kila mtu ana uwezo wa kuvuta bomba nyumbani

Halafu yawezekana we wa mjini sana kwamba maisha ya kijinini huyajui
Maendeleo hayana chama, mimi ni wa kijijini mbona huku tunatumia chemchem bomba hazifungwi zinaharibika maji yanamwagika, halafu sio swala la vijijini ni swala la mbunge wenu mwambieni aombe fedha muongeze visima zaidi, halafu wabunge hawapo mjini tu, tuwasukume watulete maji
 
Maendeleo hayana chama, mimi ni wa kijijini mbona huku tunatumia chemchem bomba hazifungwi zinaharibika maji yanamwagika, halafu sio swala la vijijini ni swala la mbunge wenu mwambieni aombe fedha muongeze visima zaidi, halafu wabunge hawapo mjini tu, tuwasukumu watulete maji
Ni nature ya eneo lenyewe lipo hivyo.
Ni kame,hata hizo chemchemi hazipo na si kama hawana mabomba nyumbani.
Hata vikichimbwa vinakauka.
 
Back
Top Bottom