Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dodoma by night ....
20201129_214221.jpg
 
Pole we ni mtoto wa kishua,yaani kuchota maji kidogo tu hadi umetokewa na malenge lenge mikononi[emoji3]
Mimi mtoto wa bush tu,tena wa familia ya chini kabisa.
Sema shule ilikuwa imenidumaza..halafu soon naenda shamba,hayo malengelenge yatanitoka hadi yatachoka yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapana sifoki. Kuna bwana mdogo hapa namwelekeza kuhusu ishu fulani hivi. Hujambo lakini? Ulienda kanisani leo? Umetubu madhambi yote na kusamehewa?
Ook nikahisi kuna mtu kamuudhi saulmet, nisingekubali ningemuudhi pia😀, mi mzima kabisa vipi wewe?, ndiyo nilienda church nimetubu naamini Mungu kasikia toba yangu. Vipi ulienda pia?
 
Ook nikahisi kuna mtu kamuudhi saulmet, nisingekubali ningemuudhi pia[emoji3], mi mzima kabisa vipi wewe?, ndiyo nilienda church nimetubu naamini Mungu kasikia toba yangu. Vipi ulienda pia?
Mi sijaenda aisee. Limvua linanyesha balaa leo yaani. Nimehudhuria ibada ya kwenye tivii. Hongera kwa toba; na kama atatokea wa kuniudhi basi ntamshtakia mara moja. Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Mi sijaenda aisee. Limvua linanyesha balaa leo yaani. Nimehudhuria ibada ya kwenye tivii. Hongera kwa toba; na kama atatokea wa kuniudhi basi ntamshtakia mara moja. Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Poleni kwa mvua ,hata ibada ya kwenye Tv si mbaya lkn. Hakika akikuudhi mtu niambie kamanda nipo hapa💪😀.
Amen, good night rafiki.
 
Mimi mtoto wa bush tu,tena wa familia ya chini kabisa.
Sema shule ilikuwa imenidumaza..halafu soon naenda shamba,hayo malengelenge yatanitoka hadi yatachoka yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaongoo, unaonekana wa kishua afu unadeka sana wewe😀😀. Usijefia shambani huko hayo mambo tuachie siye Anne.
 
Kaongoo, unaonekana wa kishua afu unadeka sana wewe[emoji3][emoji3]. Usijefia shambani huko hayo mambo tuachie siye Anne.
Mi mtoto wa bush wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena nimezaliwa kijijini.

Kudeka kupo maana mziwanda ni mziwanda tu Ila ratiba ya kwenda shambani iko palepale na mwaka huu lazima niende kupanda.
 
Back
Top Bottom