Mwe mwe mweeeh!!!Nina dhambi nyingi lakini hii sio yangu..Hii yako mama..Umesambaratisha familia..



Leo ndiyo nimekufahamu bro
Chukua...🙂🙂Naomba![]()
Hiyo hapo.Ebu tupia kapicha..Haya mengine tutaongea kwenye kikao cha familia..
Dah hongera sana mkuuMakenya ndo masagamba mkuu..Ehee hayo ninayo mengi sana.na hapo hunajayaona vizuri



Huyu dada mpya nipe no yake niwe nawaleta mwenyewe watoto nyumbani, mimi ni mlinzi wa pale getiniMi mwenyewe najikaza siku 2 3 hizi,huyu dada mpya akishazoea Basi Atakuwa anampeleka .



Makalio yako..Sio jukwaa la dini hili..




Haunihusu..Sipo kwenye umri huo..Japo ni muhudhuriaji mzuri sana wa church..
Si mbaya ukiupata huo ujumbe murua kabisa na asubuhi yako ikawa yenye baraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha bwana!!Haunihusu..Sipo kwenye umri huo..Japo ni muhudhuriaji mzuri sana wa church..
Sana tu!!!! Kwa swali lako la kwanza that is 🙂Mkuu inaonesha wewe ni mfupiau nakosea
Show case imejaa... umeitendea haki