Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Watoto wa mjini hamuwezi kuelewa hayo.Dogo umezaliwa umekuta tv ndani
Watoto wa mjini hamuwezi kuelewa hayo.Dogo umezaliwa umekuta tv ndani
Mimi wanasomea nyumbani,shule wanazisikia tu.Mi mwenyewe najikaza siku 2 3 hizi,huyu dada mpya akishazoea Basi Atakuwa anampeleka .
Nyama za paka wanene
Hakuna rafiki wala adui wa kudumu kwenye siasa kamanda. Leo mnapapurana kesho mko pamoja mnafakamia keki ya taifa








. Terrible ride !Hizi nyama huwa zinaivaga kweli
Nini tena kimekutokea mkuuSitakaa nifanye tena huu utopolo...nefaaa !!!
Na wewe uliyenidanganya mpaka nikadanganyika, ushindweee
View attachment 1633772
Aisee







Nilipelekwa kwenye park mkuu na nikashawishiwa kupanda kwenye hiyo ride. Yaani mnapanda mpaka huko juu kabisa sijui ghorofa ngapi huko halafu mnarudi chini upside down almost vertical fulu fosi mpaka kuna kimuda hapo mtu unajihisi kama vile huna uzito kabisa (zero gravity). Yaani kabisa kifo unakiona laivu hiki hapa, kichwa kinakuuma, moyo unausikia kama vile unataka kuchomoka, matumbo yanakusokota ali mradi vurugu tu. Wengine mpaka wanapoteza fahamu. Aliyenishawishi kupanda mpaka sasa hatuongeleshaniNini tena kimekutokea mkuu



Kweli Shimba wewe ni muoga hivyo???Nilipelekwa kwenye park mkuu na nikashawishiwa kupanda kwenye hiyo ride. Yaani mnapanda mpaka huko juu kabisa sijui ghorofa ngapi huko halafu mnarudi chini upside down almost vertical fulu fosi mpaka kuna kimuda hapo mtu unajihisi kama vile huna uzito kabisa (zero gravity). Yaani kabisa kifo unakiona laivu hiki hapa, kichwa kinakuuma, moyo unausikia kama vile unataka kuchomoka, matumbo yanakusokota ali mradi vurugu tu. Wengine mpaka wanapoteza fahamu. Aliyenishawishi kupanda mpaka sasa hatuongeleshani![]()
Nilipelekwa kwenye park mkuu na nikashawishiwa kupanda kwenye hiyo ride. Yaani mnapanda mpaka huko juu kabisa sijui ghorofa ngapi huko halafu mnarudi chini upside down almost vertical fulu fosi mpaka kuna kimuda hapo mtu unajihisi kama vile huna uzito kabisa (zero gravity). Yaani kabisa kifo unakiona laivu hiki hapa, kichwa kinakuuma, moyo unausikia kama vile unataka kuchomoka, matumbo yanakusokota ali mradi vurugu tu. Wengine mpaka wanapoteza fahamu. Aliyenishawishi kupanda mpaka sasa hatuongeleshani![]()






mkuu pole mnoDaah, sitakaa nisahau T express, everland south korea....kuna dada mmoja alizima, kwa kweli sikuzungumza na mtu baada ya kushukaSitakaa nifanye tena huu utopolo...nefaaa !!!
Na wewe uliyenidanganya mpaka nikadanganyika, ushindweee. Terrible ride !
View attachment 1633772
Wengine wanazima. Wengine wanatapika hovyo. Ila wengine wanafurahi balaa. Vurugu tupuDaah, sitakaa nisahau T express, everland south korea....kuna dada mmoja alizima, kwa kweli sikuzungumza na mtu baada ya kushuka


Sasa mtu anayetaka kukuua (kijanja) unamwongelesha wa nini tena? Yupo hapa anahangaika mpaka breakfast naletewa bedroom lakini nimeuchuna tu. Shwaini zakeKweli Shimba wewe ni muoga hivyo???
Eti aliyekushawishi hamuongei...![]()


