Selfika na JF: Snap it. Show it

I like this. Fast food mara moja moja siyo mbaya - hasa kama umekula hiyo baga na hizo fraizi ukazimaliza. 1, 000+ Calories
Kweli Shimba hunitakii mema 😬😬😬 Yote hiyo ya nini? Unataka ninone kama ng'ombe wa Christmas???πŸ™„πŸ™„

Nilikula nusu na fries za kutupia tupia tu basi.
 
Eti unone kama ng'ombe wa Krismasi
. Si ndo itakuwa vizuri kwa wapenda vinono?

Ulikula nusu? Na fries za kutupia tupia tu? Hooovyoooo !!!
Shimba we ndo wale mnaosemaga "Siunenepe tu!😏" alafu baadae mnakuwa bisy kukimbizana na 'english figure' mtaani ???

Anyway, usiwe mkali hivyo bana πŸ˜”πŸ˜” ...naongezea na hizi πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ kidogo πŸ™‚
 
Hizo Dorritos nazo si utakula tuvipande tuwili tu basi?


English figure eeeh! How English? Flaviana Matata or Beyonce English? Mwanamke lazima awe na vinyama nyama bana - hasa zile sehemu muhimu (if you know what I mean)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…