Selfika na JF: Snap it. Show it

Unajua hadi leo sijapata kuelewa kama wewe ni mnene au mwembamba! Kuna baadhi ya picha zako unaonekana mnene kuna nyingine unaonekana mwembamba!

Unadhani hata yananihusu basi

I am just concerned
🤣🤣🤣🤣🤣 Karma mie ni medium mpenzi. Sema nikijiachia kula wiki tu nakuwa kanono kanono hivi...nadhani ndo maana huonaga utofauti sometimes 😁😉
 
Kwahiyo mkuu tusioe tu mkuu maanaa ni karaha, ila ngoja nioe tu nitajua nitambana wapi au vipi
Wazungu wana msemo wao wanasema

"Get marriage, if you get a good wife you will be happy, if you get a bad wife you will become a philosopher"

Kuoa ni muhimu mkuu, no matter what. Yale maneno just tu nimeandika.
 
Douta, mfano mimi sio chichiem lakini I appreciate Magu, utanielezea vipi?
 
Yeah, hapo ni shida. Japo nahisi viongozi wamekosea sana kutengeneza matabaka ya wananchi.
Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
 
Kabisa, siasa sio ya kuibeba too personal kwa sababu hata hao viongozi wetu hawapo hivyo tunavyodhani. Ila sasa mtaani hayo unayosema ndio yapo, chuki za wazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…