Mmhh mi niseme ukweli sijawahi kupishana na comment yako yoyote ukiwa unasupport chama chochote cha upinzani siyo za kipindi hiki wala huko nyuma! Huwa unawaponda sana upinzani na kuwasifia CCM na huwa unalike comments za wanaoitetea CCM!
Anyway siyo mbaya ukisema kama wewe ni mwanachama wa CCM! Una haki na uhuru wa kuwa kwenye chama chochote mwaya ila ifike kipindi lazima tuseme ukweli CCM walikofikia siko na wanakoelekea ndiyo kubaya kabisa lakini cha ajabu watu wanatetea tu kila kitu!
Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
Cha ajabu wananchi ndo wanauchungu sana kuliko hata hao viongozi..
Niliwahi kupoteza rafiki ambaye tumeishi vizuri kwa miaka mingi,akanichukia na kuniporomoshea matusi kisa tu sikuwa upande wake.
Kuna sehemu nilikuta wanapigana kisa mabishano ya siasa..ujinga mtupu..kesho na keshokutwa viongozi wanakaa pamoja wanapiga story maisha yanaenda.
Kabisa, siasa sio ya kuibeba too personal kwa sababu hata hao viongozi wetu hawapo hivyo tunavyodhani. Ila sasa mtaani hayo unayosema ndio yapo, chuki za wazi!
Kabisa, siasa sio ya kuibeba too personal kwa sababu hata hao viongozi wetu hawapo hivyo tunavyodhani. Ila sasa mtaani hayo unayosema ndio yapo, chuki za wazi!