Selfika na JF: Snap it. Show it

Hao jamaa wa mambo ya urembo hawana tofauti na ma trainer hawa majamaa wa issue za gym ...
Ndio maana mimi binafsi ikija katika suala la ndoa hua naona ndoa ni kama kamari..

Kama huyo niliyemsemea kwa mazingira yale ni ngumu sana mwanamke kutoka salama, hata kama jamaa asipotaka mzigo lakini kuna possibility kubwa mwanamke akabaki na matamanio nae n hivi jamaa wanajikutaga wanajua sana ku care.
 
".....hata uchaguzi ungekuwa wa haki bado wasingetoboa."

alaaa kumbe ni kweli haukuwa wa haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…