Selfika na JF: Snap it. Show it

Amen

Mwalimu kidogo kanichangamsha.. nilikuwa nimepoa sana..yaani nimekuwa mzembe kupindukia,utadhani nilishamaliza kila kitu yaani kumbe sijui chochote


Mungu huyu basi tu anatuhurumia na kutupa nafasi tena.
Mimi kiukweli nimepotea sana hapa katikati....nimekengeuka & kuanguka vibaya!😔🤦🏽‍♂️
Ila Mungu ni Mwema sana najitahidi kujirejesha uweponi mwake tena🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…