acha tu mm wajumbe walinilamba sina hamu, walikunywa na kula lkn kula ya maoni haikuwa kura
kuna member wetu mmoja hajarudi Jukwaani aligombea Ubunge Kawe na member kibao wa mumuhumu
ngoja akirudi nakushtua,
nyuzi zile hazifai ngoja upepo utulie Oktoba 28
acha tu mm wajumbe walinilamba sina hamu, walikunywa na kula lkn kula ya maoni haikuwa kura
kuna member wetu mmoja hajarudi Jukwaani aligombea Ubunge Kawe na member kibao wa mumuhumu
ngoja akirudi nakushtua,
nyuzi zile hazifai ngoja upepo utulie Oktoba 28