Na sisi wa Dar tunakukaribisha tena ili usitukimbie kabisa tutakumissThanks Mjep ila Wazenji ndo wanawakiwa wanikaribishe kwao 🙂🙂
Na sisi wa Dar tunakukaribisha tena ili usitukimbie kabisa tutakumissThanks Mjep ila Wazenji ndo wanawakiwa wanikaribishe kwao 🙂🙂
Nitakufundisha kisukuma ujue kukiongea na kukiandika mkuuMimi sitaki wasukuma.wakianza kuniteta kilugha nitakuwa mgeni wa nani na hivi mlivyonamakusudi..
Akuu
Chizi wa mapenzichizi kabisa ujue wewe
![]()
Hata bure siwataki..mimi napenda kubembelezwa bembelezwa mara nimeshikwa nywele,sijui nikefanywa nini huko na nyie hivyo vitu hamuwezi kabisa.Nitakufundisha kisukuma ujue kukiongea na kukiandika mkuu
Ebu kuwa na utayari huo ili nisiendelee kufa na utamu wangu
Kama unataka kudanji na utamu wako we danji tu mkuuNitakufundisha kisukuma ujue kukiongea na kukiandika mkuu
Ebu kuwa na utayari huo ili nisiendelee kufa na utamu wangu
Wacha weeeChizi wa mapenzi
Kwahiyo sisi ambao hatuna trako tusivae dela sio!U hb bila hela ni sawa na dela bila tako ni kanzu tu
Jf nao wachonganishi kwanini unapo mquote mtu ukafuta bado awe notified!Roho huwa inaniuma nikikuta sehemu waliyoniquote imefutwa yaani
Tar 29 kote huko jamani,weka Leo
Yeah!!..msivae kwa kweli maana MmmmmKwahiyo sisi ambao hatuna trako tusivae dela sio!
Haya bhanaWacha weee
😢😢😢🥺🥺🥺nitakuwa mgeni wa nani mimi jmniYeah!!..msivae kwa kweli maana Mmmmm
Dah!!....Kama unataka kudanji na utamu wako we danji tu mkuu
Utakuwa mgeni wangu peke yangunitakuwa mgeni wa nani mimi jmni
Hii sekta uko vzuri
Miss ReneeHii sekta uko vzuri
Huyu anapaswa kuwa anavusha watu hapo na siyo kubebwa na hilo likitambi lake. Hooovyo !!!
Halafu mojawapo ya ugonjwa wangu, mbali na misambwanda, ni mamiguu. Oh Jizazi teki ze whiili nao. Yu a gojazi ChakoriiNaweka vipande vipande..vikikamilika mniumbe.kesho nitaweka tumbo na nyweleView attachment 1602066




Fufuka ❤️ Wangu ukanene kwa lugha huko na malaika wa zamu😅😅