Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shangazi zangu wana mamizigo ila mi walinipaga kamzigo kadogo ndo shida inayonikumba mpaka sasa
Shukuru kwa kila jambo,
Kuna siku nilimpigia Baba simu wakati nipo chuo nalalamika, sijafeli in fact ila nilipata marks nisiyoitegemea tofauti na exam ilivyokuwa, akaniambia "huna tofauti na mtu anayelalamika kanywa chai mkate, wakati mwenzie kalala njaa"...!! Niliona aibu sana!!
 
Hii thread inanifanya nijisahau kama niko single ama la, imenifanya nisahau kama nina shida ndogo ndogo za hapa na pale, inanifanya nifanye kazi za watu haraka ili niwahi tu humu ndani, inanisaidia kukimbiza muda kama vile sahii hata sijui mchana umefikaje, nimeshasahu kama JF kuna thread nyingine, jamaaaani.!!

thread inatibu chunusi, harara na kupunguza uchibonge.!! Heko Mshana Jr kwa tunguli zako walaqhi limbwata limetuingia.!!
😆😆😆Tangu huu Uzi uanze sijafungua Uzi mwingine wowote! Maana ukizubaa tu utakuta picha zishafutwa🤦🏽‍♂️
 
Back
Top Bottom