financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,360
Haha, si mda naweka dear ntakutagHembu weka mamy tuone![]()

Haha, si mda naweka dear ntakutagHembu weka mamy tuone![]()

Mimi mbona nilirudi mwembamba sema chuo tu ndiyo kikaninenepesha tena, hamna kambi lelemama na jeshini hauwezi kusingizia ugonjwa maana taarifa zako za kiafya zote wanakuwa nazo.
Alirudi bado chibonge vile vile.
Bora hata aliyeenda kanembwa
KwaniniWewe una sura ngapi etii
😂😂😂 me nilishangaa kimoyo moyo, sasa ye sijui ni yupi. Ukiacha wa Jana na Leo kuna yule wa baibui.Hahahahahaha
Mbona ukawa bubu
Hebu iweke tenaMimi ninayo.
Nimelinganisha,,,,sema kwa hapo kakaa kiupande
Nyie mmerudi Kama mlivyo.Mimi mbona nilirudi mwembamba sema chuo tu ndiyo kikaninenepesha tena, hamna kambi lelemama na jeshini hauwezi kusingizia ugonjwa maana taarifa zako za kiafya zote wanakuwa nazo.



Imebidi niulize tuu jamanime nilishangaa kimoyo moyo, sasa ye sijui ni yupi. Ukiacha wa Jana na Leo kuna yule wa baibui.
Nigeukie upande upi 😂😂😂Hembu tupia Tena ile kitu![]()
Bila idhini ya mhusika,,,hapanaHebu iweke tena
Yani sijui nilienda wapi tenaJuzi nikapost ukapotea
Pembeniiii...weraweraaaNigeukie upande upi![]()
Uzi unakimbia kama nini, niko page ya 200 nashtukia zishafika 600Wooi
Ulikuwa wapi!?
Leo pia kapost
, ila nakimbizana nao hope ntamuona in the next pages
salute kwako afande Sanchez magoliMmmhhhBila idhini ya mhusika,,,hapana
Pembeni si niligeuka janaPembeniiii...weraweraaa
Usisahau tag babydollWeka mama![]()
Unaona sasa...Yani sijui nilienda wapi tena
UsijaliUsisahau tag babydoll