Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Haswaa ,yuko vizuri!Suti imekaa mahali pake
Pembeni si niligeuka jana
Yah yah songoma MshanajrMusuli
Uwe Basi shoga angu..napendaga marafiki wa ivyo Mimi..Chaga girlView attachment 1221488

me nilishangaa kimoyo moyo, sasa ye sijui ni yupi. Ukiacha wa Jana na Leo kuna yule wa baibui.
Wewe una sura ngapi etii
Anabadilika kama kinyonga
Aminini zote ni zangu sema nimepigwa wakati tofauti na simu tofauti kuna nyingine hapo 2016,2018 na 2019Sura Ni ile ile.
Hembu angalia vizuri
( kidding)
Naelekea bandarini
Hapo sasa meelewa!!Aminini zote ni zangu sema nimepigwa wakati tofauti na simu tofauti kuna nyingine hapo 2016,2018 na 2019
😘😘😘Aminini zote ni zangu sema nimepigwa wakati tofauti na simu tofauti kuna nyingine hapo 2016,2018 na 2019
Haha..Thread nzuri sana hii inatuepusha na kusutana huko jukwaani
Mzee mama unapenda mizigo, Kapeace ni nini lakiiini??Asalaleee kiuno kidogo,,, zigo sasa hebu tafuta ingine tuone vizuri
Uwe Basi shoga angu..napendaga marafiki wa ivyo Mimi..![]()
Mzee mama unapenda mizigo, Kapeace ni nini lakiiini??
Hii ni weekdays imagine, w.end sasa ndo tutakimbizana na notifications 1000,Hahahaaa.. mi hii thread imenifanya nijue niko single, imenifanya nijue wadada wa JF ni wazuri kuliko wanavyotusema hawa kaka zetu.
Na uzuri ni kwamba kazi za boss hamna nashinda na kuamkia huku leo.
Mshana katisha sana na huu uzi. Heko kwake.
Au siyo mkuu??
Hornet njoo uone lips zile upendazo