Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,984
Mbona umekubali kuwa ni Simbilisi asee
duh,basi nilikosea mkuu.ni Sungura huyo
Mbona umekubali kuwa ni Simbilisi asee
Mimi nafuga hawa hapaNo, njiwa fulani kutoka nje ya nchi kuna Uzi niliwaona asee
Hao khanga hataenda porini kweli? Mbawa zikiota? Manake sijawahi ona wakiwa free

Hongera mkuu
Jirani next time uwe una nitag bhana acha mambo yako.
Ankaliiiii.............Ankali....
Inakuaje ilikupita hiyo pichaJirani next time uwe una nitag bhana acha mambo yako.






, ngoja nitaweka nyingineJirani unapiga vitu hatari hatari, mbona umchoyo hivyo
Oooh hongera San, kwa kuwa na mfugo mzuri.ni mwenyewe,kamezaliwa kama miezi 3 iliyopita
Daaaah nimekuta manyoya, supu ishaisha,




Mimi mwenyewe nashangaa imekuwaje jirani....ukiweka nitag aiseeInakuaje ilikupita hiyo picha, ngoja nitaweka nyingine
Pole weeeeDaaaah nimekuta manyoya, supu ishaisha,![]()
😅😅leo nimeamuakuisapraizi minyoo bhana..kila siku uji hapana😅😅Jirani unapiga vitu hatari hatari, mbona umchoyo hivyo
Oooh hongera San, kwa kuwa na mfugo mzuri.