Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Mrejesho wa aina gani huo ?Mrejesho utufikie..
Mrejesho wa aina gani huo ?Mrejesho utufikie..
Mambo
Si mmeenda inbobo kujenga,..mkishafikia hatua ya upauji na finishing mtujuzeMrejesho wa aina gani huo ?


Huyo ni ke na mimi ni ke hamna cha kujenga hapo 😅Si mmeenda inbobo kujenga,..mkishafikia hatua ya upauji na finishing mtujuze![]()
Mmmh shirawaduMrejesho utufikie..

Kumbe sijakoseaNi njema dear mwenzio nakupenda eti0naomba no pm

,Mkayajenge banah mbona inawezekanaHuyo ni ke na mimi ni ke hamna cha kujenga hapo![]()
@T 1990 ELY
Basi nikajua Tansy ndiyo ME..Huyo ni ke na mimi ni ke hamna cha kujenga hapo![]()









Hapana aiseeMkayajenga banah mbona inawezekana
Anha kumbe ulihisi hivyoBasi nikajua Tansy ndiyo ME..
maana mchango wangu wa harusi nilishauweka kwenye mfuko wa shati..
Hahaha utatupatia lini hiyo zawadi ?
😅😅 Ulihisi nini kwaniKumbe sijakosea,
Mambo@T 1990 ELY
Mke wa mganga, yupo cute sana, msalimie sema ame mix vyama hapo duh


Nitawapa zawadi, unakunywa bia ganiHahaha utatupatia lini hiyo zawadi ?