Unawajua wajeda una wasikia? Au kuona zile gwanda zao? Nakuambiaje hiyo siku nilkua naona kabisaah yesu ananishika mkono tupae juu, ila wajeda wanakomaa na mie,nimependa mstari wa mwisho cocastic...
Lakini si wabaya wa kiwango hicho ujue.yani mjeda unamfanisha na bwana chuiu must be kidding huh..
Nilijualo ni watu wakimya wasio na papara na wanahuruma pia..tatizo huja pale ukimmchokoza aiseh..utaimba mapambio yote ya kusifu na kuabudu




akaaaah sitaki hata kuwasikia hao watu. Afu huwa hawajari ndugu au vipi aaaaah.Tanzania is 6th country with beautiful girls in Africa..



Ninauhakika 💯uliwachokoza mamangu tena.😅😅😅naomba uelewe huwa hawakurupukagi kabisa.Unawajua wajeda una wasikia? Au kuona zile gwanda zao? Nakuambiaje hiyo siku nilkua naona kabisaah yesu ananishika mkono tupae juu, ila wajeda wanakomaa na mie,
akaaaah sitaki hata kuwasikia hao watu. Afu huwa hawajari ndugu au vipi aaaaah.
Sawa 😍😍Usijar sasa ntatupia baadae kidogo hivi.
Tuonyeshe na chura umalize mchezo kabisa

Hio Converse kali blaza
Hio Converse kali blaza