Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

779EF560-82D3-4B92-ABFD-FFC9B33874D9.jpeg
 
nimependa mstari wa mwisho cocastic...

Lakini si wabaya wa kiwango hicho ujue.yani mjeda unamfanisha na bwana chui u must be kidding huh..

Nilijualo ni watu wakimya wasio na papara na wanahuruma pia..tatizo huja pale ukimmchokoza aiseh..utaimba mapambio yote ya kusifu na kuabudu
Unawajua wajeda una wasikia? Au kuona zile gwanda zao? Nakuambiaje hiyo siku nilkua naona kabisaah yesu ananishika mkono tupae juu, ila wajeda wanakomaa na mie,

akaaaah sitaki hata kuwasikia hao watu. Afu huwa hawajari ndugu au vipi aaaaah.
 
Unawajua wajeda una wasikia? Au kuona zile gwanda zao? Nakuambiaje hiyo siku nilkua naona kabisaah yesu ananishika mkono tupae juu, ila wajeda wanakomaa na mie,

akaaaah sitaki hata kuwasikia hao watu. Afu huwa hawajari ndugu au vipi aaaaah.
Ninauhakika 💯uliwachokoza mamangu tena.😅😅😅naomba uelewe huwa hawakurupukagi kabisa.

Hei cocastic hebu tuache kuwazungumzia hawa watu aiseh

Tupia picha sasa tuache story
 
Back
Top Bottom