Unatafuta uhalali wa pombe kidini1Timotheo 5:23 *Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara*
Aisee...
Nilikuwa naenda shambani 😄Ulikuwa unafanya statistical Road safety survey nini ?![]()
Kuvuna yale maharage eeh?Nilikuwa naenda shambani![]()

Kazi wapiii...misele tu ya hapa na pale.Aisee...
Mlikuwa mnafanya kazi gani leo..?
Wooooop uchagan hukooh
Next time nialike nijongee meza takatifuMambo mazuri kula na ndugu yakoView attachment 1552417
Muone anapenda kuona wengine yeye sasa sura yake sijui ina dhahabu za raiza anaogopa kupigwa pangaaaTupieni selfie hizo
