Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Watu kama hawa hawatakiwagi kushawishiwa aise...unaweza shawishi ukajikuta unaharibu...tuwaachage kama walivyo mcute wanguDea wee nae si umshawishi lol,![]()
Watu kama hawa hawatakiwagi kushawishiwa aise...unaweza shawishi ukajikuta unaharibu...tuwaachage kama walivyo mcute wanguDea wee nae si umshawishi lol,![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣...eheee nitafanya my dear 🤣🤣🤣🧐🧐🧐🧐🧐🧐Kabisaaaaah yaan utafanya ivo dea.
Hahahaha, we una akili sana ,nikutakie Jpili Njema RafikiWatu kama hawa hawatakiwagi kushawishiwa aise...unaweza shawishi ukajikuta unaharibu...tuwaachage kama walivyo mcute wangu
Asante mtu chake nawe nikutakie jumapili iliyomurua kabisa 🥂🥂🥂Hahahaha, we una akili sana ,nikutakie Jpili Njema Rafiki
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Eti eeeeh, baas sawa dea tuwe wapole tyuuuhWatu kama hawa hawatakiwagi kushawishiwa aise...unaweza shawishi ukajikuta unaharibu...tuwaachage kama walivyo mcute wangu
Woyoooooh...eheee nitafanya my dear
![]()
Eti eeeeh, baas sawa dea tuwe wapole tyuuuh
Huhuhuh sasa dea huyo mjeda nae aweke pic ake, afu n daddie ndo maan nashindwa kumshawish atanchapa fimbo, wee ukim tune atakuelewa sema muoga mno lol.Na hili ndilo la msingi ulilokuwa unataka kujisahaulisha my![]()
Unanitafutia balaa zito sana 🤣🤣🤣..Huhuhuh sasa dea huyo mjeda nae aweke pic ake, afu n daddie ndo maan nashindwa kumshawish atanchapa fimbo, wee ukim tune atakuelewa sema muoga mno lol.
Hebu acha uoga wee jomone dea lol, atakuelewa huyo hana noumer ujue et, jiamin mwanamke unaweza, na ni jeshi kubwa uwiiihUnanitafutia balaa zito sana..
Kumbe ni daddie.. eheee sasa hapo ndo utumie vidole vizuri kutaipu loh.Nawaogopa wajeda aiseh
wakitibuka wametibuka sitaki kasheshe mimi.
![]()
Jehovah kwani mimi ni nani mpka anielewe kirahisi hivyo!!!
unanitafutia balaa cocastic my love
Pole
Mimi na majeshi ni vitu viwili tofauti My lovie..Hebu acha uoga wee jomone dea lol, atakuelewa huyo hana noumer ujue et, jiamin mwanamke unaweza, na ni jeshi kubwa uwiiih
Wee mie ndo kabisa siendan nao hata kidogo.Mimi na majeshi ni vitu viwili tofauti My lovie..
Sina hata mazoea nae kabisa![]()
Hebu jaribu kunena kwa lugha pengine anaweza kukuelewa tu.punguza woga mtoto loh!!



kuna uzi wa wajeda kule chit chat. Nlimwaga tukio ambalo sitasahau, wee wajeda hapana aseee, heri nkutane na chui huenda atanionea huruma




🤣🤣🤣🤣nimependa mstari wa mwisho cocastic...kuna uzi wa wajeda kule chit chat. Nlimwaga tukio ambalo sitasahau, wee wajeda hapana aseee, heri nkutane na chui huenda atanionea huruma
Usintishe hivoooh sasa,
Akhsante mkuuPole