Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huhuhuh sasa dea huyo mjeda nae aweke pic ake, afu n daddie ndo maan nashindwa kumshawish atanchapa fimbo, wee ukim tune atakuelewa sema muoga mno lol.
Unanitafutia balaa zito sana 🤣🤣🤣..
Kumbe ni daddie.. eheee sasa hapo ndo utumie vidole vizuri kutaipu loh.🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️Nawaogopa wajeda aiseh 😅😅wakitibuka wametibuka sitaki kasheshe mimi.

😳😳 🙆‍♀️🙆‍♀️Jehovah kwani mimi ni nani mpka anielewe kirahisi hivyo!!!😅😅unanitafutia balaa cocastic my love
 
A0B3753A-E2C2-476B-B5D4-FC5B639D1C55.jpeg
 
Unanitafutia balaa zito sana ..
Kumbe ni daddie.. eheee sasa hapo ndo utumie vidole vizuri kutaipu loh.Nawaogopa wajeda aiseh wakitibuka wametibuka sitaki kasheshe mimi.

Jehovah kwani mimi ni nani mpka anielewe kirahisi hivyo!!!unanitafutia balaa cocastic my love
Hebu acha uoga wee jomone dea lol, atakuelewa huyo hana noumer ujue et, jiamin mwanamke unaweza, na ni jeshi kubwa uwiiih
 
kuna uzi wa wajeda kule chit chat. Nlimwaga tukio ambalo sitasahau, wee wajeda hapana aseee, heri nkutane na chui huenda atanionea huruma
Usintishe hivoooh sasa,
🤣🤣🤣🤣nimependa mstari wa mwisho cocastic...

Lakini si wabaya wa kiwango hicho ujue.yani mjeda unamfanisha na bwana chui 😅😅u must be kidding huh..

Nilijualo ni watu wakimya wasio na papara na wanahuruma pia..tatizo huja pale ukimmchokoza aiseh..😅😅😅utaimba mapambio yote ya kusifu na kuabudu
 
Back
Top Bottom