Sipendi vibamia 🎶🎶🎶🎵🎵mwanaume mashine 🎵🎵🎵🎵🎵🎵🎶🎶by Maua Samma🤣🤣🤣Mimi iko penda hiyo View attachment 1548336paja yako.
Vibamia ndiyo nini?Sipendi vibamia 🎶🎶🎶🎵🎵mwanaume mashine 🎵🎵🎵🎵🎵🎵🎶🎶by Maua Samma🤣🤣🤣
Ni wimbo wa maua samma nilikuwa nauimba hakun kingineVibamia ndiyo nini?
MmmhSipendi vibamiamwanaume mashine
by Maua Samma
![]()
Habari Rafik 😆Mmmh
Nzuri,naona unaimba ,una sauti nzuri RafikiHabari Rafik![]()
Hahahaha, umecheka nn tena Rafiki , ni kweli una sauti nzuri Rafiki
Hivyoo..kumbe ulishawahi kuisikia ee😅😅safiHahahaha, umecheka nn tena Rafiki , ni kweli una sauti nzuri Rafiki
HahahahaHivyoo..kumbe ulishawahi kuisikia eesafi
Kwann muda mwingi uwe pekee yako,wkt tupo wa kukaa pamojaCheka tu dear..maisha ni kufurahi.mda mwingi niko pekee yangu so nikiwa humu JF nafurahia maisha.cheka tu hakuna namna![]()
Kumbe mpo ee..safi nilikuwa sijui kama unaweza kuwa mmoja wao wakunicompan..Kwann muda mwingi uwe pekee yako,wkt tupo wa kukaa pamoja
Mie mbna ndo mda wote nipo alone na ndio life sytle angu, sema hapa nipo sehemu muhimu ambapo nna attend future ya maisha yangu. Ila nktoka n home tyuuuh nakaa pekee naenjoy life.Cheka tu dear..maisha ni kufurahi.mda mwingi niko pekee yangu so nikiwa humu JF nafurahia maisha.cheka tu hakuna namna![]()
Haina haja ya hiyo kitu mbna.Kuna haja ya JF kuweka feature ya kurekodi sauti
Coz watu wanapitwa na uhondo kuna wasanii humu![]()
Maelezo kwa sauti yangefaaHaina haja ya hiyo kitu mbna.

Hahahaha, Rafiki nausubiri mwaliko huo toka kwakoKumbe mpo ee..safi nilikuwa sijui kama unaweza kuwa mmoja wao wakunicompan..
Mwaliko uko njiani rafiki![]()