ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,474
- 119,177
Mtoto wa kike kwa babake, kwani hujui babe?
Mtoto wa kike kwa babake, kwani hujui babe?
Mie nataka kujua hiyo bangi unayovuta ni ya wapi
Najua ndio maana nimemtimua.Mtoto wa kike kwa babake, kwani hujui babe?
Usitengeneze matabaka kwa watoto.



ndiye anayenidekeza sa mie nifanyeje unadhani nani anapenda kufokewa muda wote
na mi ni binadamu kuna muda nahitaji kudeka jamaniMtoto wa kike kwa babake, kwani hujui babe?


baaaba baaaba huyooo waooooKama kawaida,ile ile ya Arusha![]()
Naona wewe huwa unavuta hadi mizizi siyo bure


Dea leo naomba picha yako.Namalizia kuedit![]()
Kwendraaaaa!ndiye anayenidekeza sa mie nifanyeje unadhani nani anapenda kufokewa muda wote
na mi ni binadamu kuna muda nahitaji kudeka jamani
Lucas Graham.Once I was seven years old, my momma told me “go get yourself some friends or you’ll be lonely”.
Mweeeh!! Zoë na Saint Anne kazi kwenu. Hangaikeni ni huyu kiumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app






Hapana mom sitaki hata kuiona..itakua imeandikwa na mtu mwenye wivu na stress zake enzi hizo


