Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sipendi vibamia mwanaume mashine by Maua Samma

JamiiForums1911416151.jpg
 
Mbn umeng’ang’ania sana mkuu..au umesahau dhima nzima ya kuwa na ids feki nini...
Watu wanakuchora tu na aidia yako.tafuta kitu kingine mkuu hiyo hebu Isahau kwa muda
Sawa lakini hatuendani na slogan ya JF nadhani inasema "where we dare to talk openly"Ila hata majina yetu sio real
Kasoro mimi tu nadhani JF nzima ndo nina jina langu halisi zagarinojo
Are we daring to talk openly or we are being hypocrites
 
Dah!Ila the world is not fair
Kwa mfano wazungu walikuwa wakigundua kitu SI unit wanaipa jina lao kwa mfano Isaac Newton akaipa force SI unit Newton

Kibongo bongo kama DUDU BAYA kwa mfano angegundua force SI unit yake ingekuwa "DUDUBAYA"hata hao wanafunzi wasingekubali
 
Sawa lakini hatuendani na slogan ya JF nadhani inasema "where we dare to talk openly"Ila hata majina yetu sio real
Kasoro mimi tu nadhani JF nzima ndo nina jina langu halisi zagarinojo
Where we dare kufanyaje!!!lakin sio sauti zidi kile humu.kuna mahali nilisoma umri wako ni miaka 19au 20 kama sijakosea sasa sijui ni kweli??

Kama ni kweli,relax jombaa kuna maisha bado hujapitia na hata hii ID yako 💯 sure utakuja kuibadili tu.so kuwa mpole🥂🥂
 
Where we dare kufanyaje!!!lakin sio sauti zidi kile humu.kuna mahali nilisoma umri wako ni miaka 19au 20 kama sijakosea sasa sijui ni kweli??

Kama ni kweli,relax jombaa kuna maisha bado hujapitia na hata hii ID yako sure utakuja kuibadili tu.so kuwa mpole
Hahahaha ,Rafiki bana ,eti atabadi ID ,wewe Rafiki ulibadili nn id

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha ,Rafiki bana ,eti atabadi ID ,wewe Rafiki ulibadili nn id

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kuweka jina langu halisi humu rafiki...
Nilikuwa na jina la mwanzo nilipoangalia movie ya udaan nikapata jina la chakor nikatokea kulipenda nikaomba nibadilishiwe to Chakorii so since then sijawahi badili tena
 
Where we dare kufanyaje!!!lakin sio sauti zidi kile humu.kuna mahali nilisoma umri wako ni miaka 19au 20 kama sijakosea sasa sijui ni kweli??

Kama ni kweli,relax jombaa kuna maisha bado hujapitia na hata hii ID yako sure utakuja kuibadili tu.so kuwa mpole
Hapana siwezi kudanganya nina miaka 19 kweli I was born in 2001
Na pia nikasema I'm school drop out siwezi kuona aibu kusema ukweli

Alafu nyie my sisters na wengine elders eti niwadanganye nitafaidika nini?

Najua I'm still growing up lakini kusema ukweli ni vizuri

Ntaendelea kujifunza mambo mengi from you my elders lakini na mimi maybe mtalearn chochote kutoka kwangu japokuwa I'm young
 
Hapana siwezi kudanganya nina miaka 19 kweli I was born in 2001
Na pia nikasema I'm school drop out siwezi kuona aibu kusema ukweli

Alafu nyie my sisters na wengine elders eti niwadanganye nitafaidika nini?

Najua I'm still growing up lakini kusema ukweli ni vizuri

Ntaendelea kujifunza mambo mengi from you my elders lakini na mimi maybe mtalearn chochote kutoka kwangu japokuwa I'm young
Safi.basi hebu kuwa mpole humu ndani endelea kujifunza kimya kimya.kuna vitu vingi mno namaanisha vingi mnooooo... huvijui.sawa kijana mdogo...tulia

jf ni kama msitu kila kiumbe kipo humo ndani so chukua kiti ukae utulie mdogo wangu.

Karibu sana JF.tunakupenda sana
 
Back
Top Bottom