Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Safi.basi hebu kuwa mpole humu ndani endelea kujifunza kimya kimya.kuna vitu vingi mno namaanisha vingi mnooooo... huvijui.sawa kijana mdogo...tulia

jf ni kama msitu kila kiumbe kipo humo ndani so chukua kiti ukae utulie mdogo wangu.

Karibu sana JF.tunakupenda sana
Ahsante natulia sasa make toka nianze July 26 2020 nimefungua threads Kama kichaa!
Baada yakuona comments zimeshiba nikajua JF Ina wasomi na watu wakubwa nikajiona mdogo hata sitoshi kwenye kisado..
Watu wako very smart Sana

Ka elimu kangu kenyewe form 3 Ila nimejitahidi kufungua critical threads
Wakati mwingine wasomi wakishindwa kujibu wanacomment that's nonsense

Wakati mwingine ukosoaji usio na mafunzo Ila its part of learning
Ila nashukuru kwa kuijua JF labda ntapata na gal friend Humu
 
Ahsante natulia sasa make toka nianze July 26 2020 nimefungua threads Kama kichaa!
Baada yakuona comments zimeshiba nikajua JF Ina wasomi na watu wakubwa nikajiona mdogo hata sitoshi kwenye kisado
Wewe nyuzi zako andelea kuzileta tu.ila Habari ya kuweka sauti hiyo piga chini kwanza.

Basi relax.
 
IMG_20200623_205847_935.jpg
 
Hapana siwezi kudanganya nina miaka 19 kweli I was born in 2001
Na pia nikasema I'm school drop out siwezi kuona aibu kusema ukweli

Alafu nyie my sisters na wengine elders eti niwadanganye nitafaidika nini?

Najua I'm still growing up lakini kusema ukweli ni vizuri

Ntaendelea kujifunza mambo mengi from you my elders lakini na mimi maybe mtalearn chochote kutoka kwangu japokuwa I'm young
Aisee humu ndani kumbe tunachat na watoto wetu kabisa
 
Back
Top Bottom