zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
Ila sikusahau kuipendelea lugha ya kabila langu kikuryaTe amo/ Te quiero![]()

Ila sikusahau kuipendelea lugha ya kabila langu kikuryaTe amo/ Te quiero![]()

Toa huo mkofia
Duuuh jamaniiih dea, ouk sawaToa huo mkofia



Good morning watu wema wote na wabaya piaGood Morning fellas View attachment 1547300
Umenikumbusha enzi za kuandikianan barua tukiwa shule



@Chakorii Ila Mimi siko shule I'm a dropoutMsimshangae sana mara nyingi miandiko ya namna hiyo inakuwa bado iiko skuli.haijaanza kutumika kuingiza fweza
Hongera zake mwandiko unavutia

Whew!! What a sight to behold.
I am wholly impressed.
![]()
Usiogope mrembo. Weka kidogo halafu unatoa.
Huo mwandiko haujaanza bado kuingiza fedha kijana.@Chakorii Ila Mimi siko shule I'm a dropout![]()
Wacha weee...🤪🤪Umenikumbusha enzi za kuandikianan barua tukiwa shule![]()
@Chakorii mwandiko kwani unaoneshaje mtu ana fedha mbona walimu wa kike wanaandika vizuri na wanaingiza fedhaHuo mwandiko haujaanza bado kuingiza fedha kijana.
Huo mwandiko wako unaonekana unauremba mno.wewe unatolea wapi mda wa kuremba mwandiko namna hiyo ikiwa uko buzy unakimbiazana na muda??😅😅😅mwandiko wa kutembea unajulikana na mwandiko wa kukimbuzana na muda unajulikana.ila usijali uko vizuri hongera@Chakorii mwandiko kwani unaoneshaje mtu ana fedha mbona walimu wa kike wanaandika vizuri na wanaingiza fedha
umefanan na mama fred

😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆sanaaaaumefanan na mama fred![]()