Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Njooo kuna ubavu mzima hapa mom
Njooo kuna ubavu mzima hapa mom
Hapana mom sitaki hata kuiona


..itakua imeandikwa na mtu mwenye wivu na stress zake enzi hizoMweeeh!! Zoë na Saint Anne kazi kwenu. Hangaikeni ni huyu kiumbe.Hapana mom sitaki hata kuiona..itakua imeandikwa na mtu mwenye wivu na stress zake enzi hizo
Utasikia "we nawe umezidi madeko, hebu jikaze uende hospitali"Bongo sasa lalamika unaumwa uone![]()
Hivi huyu Saint Anne hafai kua mkweo?Mweeeh!! Zoë na Saint Anne kazi kwenu. Hangaikeni ni huyu kiumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes kama nitakuwa na ZoëNinaweza endapo tu nitakuwa na mume wangu huko]View attachment 1547089
Hivi unavyowakusanya hivi hizo nguvu unazo? Au unataka nije nilee wajukuu wa watu?
S
Hawa ndiyo zao #Dada zangu ukiona mzungu kaja afrika,mkabebana huko na hataki kuvaa condom jiulize sana maswali sana kabla ya kupanua miguu yako.
Haahaaha zipo usiwe na shakaa...Hivi unavyowakusanya hivi hizo nguvu unazo? Au unataka nije nilee wajukuu wa watu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mweeeh!! Zoë na Saint Anne kazi kwenu. Hangaikeni ni huyu kiumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app








Uzitoe wapi pombe imeshakula nguvu zoteHaahaaha zipo usiwe na shakaa...


Kwendraaaa ila ingekuwa baba yako Eli79 ungemtag tuMommy
Halafu hauwezi amini ilibaki kidogo nikutag! Ila nikawaza hilo shushu litakalokuja nikasema acha nitulize kiherehere!![]()
![]()

