Kafariki huyu mzee😳😳😳
We jamaa mwandiko mzuri huu wa jinsia ile ulifundishwa na nani!??Love Love LoveView attachment 1546966
Amna imetokea tu umekua hivyo toka nikiwa mdogo naturally sijafanya jitihada zozote kuremba kaka...We jamaa mwandiko mzuri huu wa jinsia ile ulifundishwa na nani!??
Umepata wapi hadi muda wa kuweka mikia katika kila herufi!??
Hongera kwa mwandiko wenye kuvutia
I always had that dream like my dad before me so I started using JF to make it happen![]()






Unaandika vzr ila sidhani Kama umeufikia wangu.
Nigawie mwili kidogo

Hebu shindana hukoUnaandika vzr ila sidhani Kama umeufikia wangu.
Mimi sirembeshi herufi kwa kuzirefusha hivyo.
Halafu huo muda wa kushindana miandiko boss nautoa wapi?
Watu vichwa vya Moto mkuu
Ndugu zangu kwa wale muda utawaruhusu tunategemea kumpumzisha *Dr Louis Shika Kidola* kesho saa 8 mchana Nyanguge mwili utawasili nyumbani saa 4 asubuhi kwa ajili ya sala na kutoa heshima then utapelekwa malaloni saa 7 tayari kwa mapumziko katika nyumba yake ya milele!!!Kafariki huyu mzee![]()




Oh jamani

Mashindano haya ntayadhamini kwa fedha usjali itakuwa Kama compesantion to your wastage of timeUnaandika vzr ila sidhani Kama umeufikia wangu.
Mimi sirembeshi herufi kwa kuzirefusha hivyo.
Halafu huo muda wa kushindana miandiko boss nautoa wapi?
Watu vichwa vya Moto mkuu


Kwa sasa hata ungeniwekea millioni siweziMashindano haya ntayadhamini kwa fedha usjali itakuwa Kama compesantion to your wastage of time![]()
Wako sijauona naskia wana JF wanakusifia ww na Joanah kwa good handwriting
Yaani bro kichwa changu kilivyo cha moto