Mi nakuruhusu tu nenda halafu ukija geuka utakuta nami nishageuka hapo ndo utaelewa kwanini iliimbwa ile nyimbo dunia haina huruma..😅
Usiache mbachao kwa msala upitao usiku mweka my sweet love..😉
My dea vyakula vinavyouvuruga ni ugali dona,matembele,Nyanja chungu,namna,biringanya,Dagaa,samaki sangara(kichwa),nyama ya kuchoma,kuku wa kienyeji chukuchuku pilipil ya kutosha😋😋😋mpka minyoo yangu imesimama
My dea vyakula vinavyouvuruga ni ugali dona,matembele,Nyanja chungu,namna,biringanya,Dagaa,samaki sangara(kichwa),nyama ya kuchoma,kuku wa kienyeji chukuchuku pilipil ya kutosha
Aiseh napenda kula vyakula vya asili my dear.
Tena nipate ule ugali uliochanganywa mtama,ngano,mhogo mahindi ambayo hayajakobolewa😋😋😋😋naweza kula bila mboga 😅😅😅