Selfika na JF: Snap it. Show it

Duuuuh hapa mate yanachuruzika tyuuuuh, Chakorii njoo hapa uone vityuuuh vitamu
Imenivutia sana hiyo salad 🥗 Kuku kwa mbali..

My dea vyakula vinavyouvuruga ni ugali dona,matembele,Nyanja chungu,namna,biringanya,Dagaa,samaki sangara(kichwa),nyama ya kuchoma,kuku wa kienyeji chukuchuku pilipil ya kutosha😋😋😋mpka minyoo yangu imesimama
 
ndo maan unakua bonge, unakula vitu OG yaan nechurale, nakujua kwa msosi hujiban wee
 
ndo maan unakua bonge, unakula vitu OG yaan nechurale, nakujua kwa msosi hujiban wee
Aiseh napenda kula vyakula vya asili my dear.
Tena nipate ule ugali uliochanganywa mtama,ngano,mhogo mahindi ambayo hayajakobolewa😋😋😋😋naweza kula bila mboga 😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…