Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
na wewe fanya mambo basi wakwetuningendako do the needful, mambo yasiwe mengi...
Hembu acha kunibania..tupia picha



tayar nshatuma, Halaf sijawah kuona mtu anatuma pic akaacha faceNataka nione usotayar nshatuma, Halaf sijawah kuona mtu anatuma pic akaacha face
Subiri usiku watu wakiwa wamelala.Nataka nione uso
Nitakuwa nimelalaSubiri usiku watu wakiwa wamelala.

Yes I know, usijari kwa hilo kabisa mama mchungaji.Nakukumbuka sana
Na nakuombea neema ya Mungu katika mambo mengi..na amini Mungu yupo kwa ajili yako na Kristo alikuja kwa ajili yako kukutafuta..
Ona ni jinsi gani ulivyo wa thamani mbele za Mungu
Cha muhimu ni wewe kutii na kufuata maagizo yake na MUNGU ana neno kwa ajili yako na wengine wengi kupitia mimi muda ukifika
Ujiandae kupokea bila kujali litakufurahisha au halitakufurahisha maana Neno la MUNGU ni zaidi ya upanga ukatao sehemu zote
Watu weweeeeeee, mrembo Depal katika ubora wako
Na wewe muige mwenzio haraka ujueWoooooop dea umeuaaaah![]()
Mie sina sasa ujue.Na wewe muige mwenzio haraka ujue
Wacha tusifie uumbaji😂😂😂😂 watu wa huu Uzi mnajuaga kusifia khaaa!!
Haya na mie niwaone...
Sawa usijari utaonawatu wa huu Uzi mnajuaga kusifia khaaa!!
Haya na mie niwaone...
We dogo wewe fanya mambo aiseeMie sina sasa ujue.
Acha hizo boss 😆😆😆 unanizoom nini sasa!!Wacha tusifie uumbaji
Nimezoom nikazoom nikazoom aiseee
Weka full Jamani
Hilo tabasamumie hoi
![]()



ukiweka neno lingine la upako nitaweka tenaMuoneshe mfano..We dogo wewe fanya mambo aisee