Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Bae 😍
Toa ilo kitu umeweka kwa uso, litakuchocha jicho...
Bae 😍
Nitumie nasubiriNjoo porini bas![]()
Bae
Toa ilo kitu umeweka kwa uso, litakuchocha jicho...
bae

Ndani ya Kristo ninaweka tumaini languNow I'm listening![]()
Aliingia moyoni mwangu
Kanipa kutulia
Kaniambia “ewe mwanangu
Usilie lie tena
Ninajua shida zako
Mimi nitazitatua”
Bila Yesu, mimi ni mtu bure
Bila Yesu, mimi ni mtu bure
Kati giza, Yesu ni mwanga
Kati huzuni, Yesu ni mfariji
Kati vita, Yesu mwamba
Katika njaa, Yesu ndiye mkate
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
Yesu mwamba wangu, mahali pa kujificha
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
Yesu mwamba wangu, mahali pa kujificha
Anajua shida zangu, Yeye atazitatua
Bila Yesu, mimi ni mtu bure
Saint Anne![]()




Beautiful

Ohoo subiri hapohapooMambo si hayaa
Saint Anne na wewe fanya kama mwenzio mama angu
Nasubiriii, ole wako usiweke sasaOhoo subiri hapohapoo

that's my baeSawa ucjal madam AnnieNitumie nasubiri
Ndani ya Kristo ninaweka tumaini langu
Sijui bila wewe Bwana wangu ningekuwa wapi
Eeh Yahweh we ni yote kwangu
Eh Yahweh ningekuwa wapi
View attachment 1545860
😁😁 yani weweeEndelea kusubiri![]()
Hapana Bmi...Kwan hii dunia yetu?![]()
Ur so beautifulHapana Bmi...
, Halaf Kama umefanana na dada yangu vile😜😜😜 vile next timethat's my bae
vile vidimpo vya kichokoz ndio vimekosekana hapo