Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakukumbuka sana
Na nakuombea neema ya Mungu katika mambo mengi..na amini Mungu yupo kwa ajili yako na Kristo alikuja kwa ajili yako kukutafuta..
Ona ni jinsi gani ulivyo wa thamani mbele za Mungu

Cha muhimu ni wewe kutii na kufuata maagizo yake na MUNGU ana neno kwa ajili yako na wengine wengi kupitia mimi muda ukifika
Ujiandae kupokea bila kujali litakufurahisha au halitakufurahisha maana Neno la MUNGU ni zaidi ya upanga ukatao sehemu zote
dah ila wewe
 
Screenshot_20200823-140923.png

To y'all who're missing their beloved ones. 🎵🎶🎧
 
Now I'm listening 👇

Aliingia moyoni mwangu
Kanipa kutulia
Kaniambia “ewe mwanangu
Usilie lie tena
Ninajua shida zako
Mimi nitazitatua”
Bila Yesu, mimi ni mtu bure
Bila Yesu, mimi ni mtu bure

Kati giza, Yesu ni mwanga
Kati huzuni, Yesu ni mfariji
Kati vita, Yesu mwamba
Katika njaa, Yesu ndiye mkate
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
Yesu mwamba wangu, mahali pa kujificha
Yesu kimbilio, hajawahi kuniacha
Yesu mwamba wangu, mahali pa kujificha
Anajua shida zangu, Yeye atazitatua
Bila Yesu, mimi ni mtu bure

Saint Anne 😜
 
Back
Top Bottom