Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 8,407
- 28,836
Kumbe nawe wajua vitu vizuri mdogo wangu.!!Limkaka lihandsome hilooo 😋😋
Kumbe nawe wajua vitu vizuri mdogo wangu.!!Limkaka lihandsome hilooo 😋😋
kwani mtu anazeeke baadhi ya viungo?
Umenipa kazi ya kuchungulia kila muda,, haya mateso yangu utayalipiaIle picha mods wamenitesa nayo sana kuitoa display. Halafu kuna mtu tulikua nae kwenye hiyo trip yupo JF angeiona tu angejua kabisa ni mimi
Haha' hivi kumbe tuna hadi vifaa vya kiume humu..
Eti kaka, umeshawahiwa??
Haha!!.
Upo darasa la ngapi mpendwa?
Kamdomo sasa![]()
Msomali wa camera ya Snapchat labda.![]()
nasubiria....Eee ndiyo... Nitakuambia pembeni wapi ulipozeeka
Mi ntakuja niwe hata housegirl sio kwa maua haya
Mzigua umeliona zigo hili? Pata picha likiinuka sasa
Hebu tusaidie ya kusimama,,, ningekuwa dume hii mizigo ingenimalizia pesa zangu sio siri


Haha' camera zinaongopa khatari, Mtu akikutana na wewe live anaweza kukupita asikutambue walaqhi'..!!
JF simama nishuke.... Shikamoo Makiseo loh...Naona Huu Uzi unaenda Kasi sana..View attachment 1221323




Haha,Wadada wote tumempa like maana si kwa mkomesho huo aliotuwekea.
Navijua Dada 😄Kumbe nawe wajua vitu vizuri mdogo wangu.!!
Nilishtuka saa 8 nakuta ndio unafurahia imetoka
Emu iweke tena bana, hata kwa dk 3