Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Aah vingine vinavukaa 😜Vimini havina shida Sana
Ili mradi visivuke magoti.
Huyo mama mzuri Sana![]()
Mama angu ni mtata sana linapokuja suala la malezi, mama angu ukivaa skini jeans hutembei nae
Aah vingine vinavukaa 😜Vimini havina shida Sana
Ili mradi visivuke magoti.
Huyo mama mzuri Sana![]()
Kesho misa ya kwanza na kimini amazing kama hiki 😜 Yesu akinibariki nitatupia picha muone 🚶
Safi sana.Aah vingine vinavukaa
Mama angu ni mtata sana linapokuja suala la malezi, mama angu ukivaa skini jeans hutembei nae
..mimi mwenyewe mtu akivaa hovyo asiongozane na mimi 








Boss of all bosses 😉
Haha acha hizo basiAah vimini sikushauri uache maana mguu wa kuvalia vimini unao
Huku salama Tansy, habari za huko?Hahha vizuri vipi habari ya huko ?
Nzuri aiseeHuku salama Tansy, habari za huko?
Siwezi kutoaEmbu ngoja kwanza mtakatifu..
Huwezi kutoa au unakuwa huna hela kwa wakati huo..hebu weka vizuri
Hii hapa nzuri
AiseeeTuko tofauti aiseh hongera.
Sikumbuki kama nilishawahi kuwa nanguo ndefu mbali na suruali.na hizo suruali zenyewe ni marufuku kufika mpaka chini![]()
Tupo hapa tutasubiriKesho misa ya kwanza na kimini amazing kama hikiYesu akinibariki nitatupia picha muone
![]()
Muoneme mwenyewe kuna baadhi ya vitu ukivaa ama kuweka hakiii hutoboi kuongozana na mimi..








Wewe Anne hebu acha basiNikakuambia nini?

Huu si msonyo jamani!?!?
Haha hiyo tunaenda sawa bana, nina gauni hiyo ni ndefu nikivaaga nasifiwa 😀 ila sifa zao hazijanishawishi bado kujaza hata shelf ya kabati nguo za vitenge
Isiwe tu magauni marefu
Weka picha hapaWewe Anne hebu acha basi![]()
Embu tuioneHaha hiyo tunaenda sawa bana, nina gauni hiyo ni ndefu nikivaaga nasifiwaila sifa zao hazijanishawishi bado kujaza hata shelf ya kabati nguo za vitenge
Haha hiyo tunaenda sawa bana, nina gauni hiyo ni ndefu nikivaaga nasifiwaila sifa zao hazijanishawishi bado kujaza hata shelf ya kabati nguo za vitenge





