Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanza kabisa usiniite mkuu..

Nahisi bado unakula sana Nyama na vitu vingi vya sukari,haya niambie umefika kilo ngapi sasa!??

Shida nyingine mazoezi hutaki hata kuyasikia
Hahhaa kwa nini hutaki nikuite mkuu ?
Hamna nyama nimepunguza kweli , wali nakula mara mbili per week sukari pia sio sana na sijapima kilo muda kweli .
 
Ohooo...ni kweli aise..
nguo yoyote itakayochanwa bila sababu ni big no aiseh.

Ila kuna high waist ni nzuri nazipenda..
kuna ile unakuta mdada kupiga high waist mpka kwenye maziwa hukona mjanja juuhapana aiseh


Yaani wengine wanaonekanaga vituko tu haki ya nani! Sasa ukute mtu ana tumbo kama mkoba wa kinyozi ndiyo kabisa anakufanya usitamani kuvaa!
 

Nitaenda sido.

Yaani nikatoe elfu 10 nanunua suruali!?!?!

Sasa na wewe unaanzaje kununua nguo kwa bei hiyo hiyo uliyotajiwa kwani haujui kubargain?

Mtu akikutajia elfu 10 unahakikisha inashuka hadi elfu 6 tena hapo umemuonea huruma kuna watu wanajua kubargain jamani hadi unamuonea huruma muuza nguo wa watu!
 
Na mimi nifundishe kuweka hair bleaching then this shit goes with mazingiraling.... Hapo ilikuwa Lake Manyara ni ngumu kwenda nimevaa mgauni.

shida siyo suruali shida ni suruali zilizochanika magotini maana kama ni suruali hata mimi ni mvaaji mahiri!

mwee bleach halafu hata mimi sipendi unajua sema siku ile nilijaribu tu na ndiyo ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho!
 
Ohooo...ni kweli aise..
😅😅😅nguo yoyote itakayochanwa bila sababu ni big no aiseh.

Ila kuna high waist ni nzuri nazipenda..
😅😅kuna ile unakuta mdada kupiga high waist mpka kwenye maziwa huko😅😅😅😅na mjanja juu🙆‍😆😆hapana aiseh
High waist hadi kwenye maziwa??! Uongo mweupe sana huu

Labda zile suspender nayo haifiki kifuani
 
Back
Top Bottom