Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Aiseee
Mimi utadhani nina kiwanda Cha vitenge..na hivi siku hizi natengeneza batiki.
Yaani naeza vaa vitenge mwezi mzima bila kurudia.
Hivi wanauzaga sh ngapi tule tujeans nipate pa kuanzia![]()






Inategemea na sehemu unayonunua mama! Ziko kuanzia za elfu 6 hadi za elfu 40 wewe tu!








