T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Aiseeeeee!!
Jael bhana
Aiseeeeee!!
Ooooh Yes!
Chakula kiko wapi naona mboga tu hapo?
Kwa hiyo unataka mama yangu atoke Jf? Utampata nani wa kumpostia maparachichi?Ai givapu. Kibiblia ukiweka ahadi ni lazima utimize. Usipotimiza ahadi hiyo itakuandama tu. Sasa sijui huku kubembelezana kunatoka wapi. Aweke picha mtumishi![]()
Mtumishi atimize ahadi. Usikwepeshe topiki![]()
Hahaahah nkamu wewe wa kunifanyia hivyo mimi? UsinitetemesheeeeeKaka usimfokee ukimfokea ndiyo utaharibu! Tumuombe kwa heshima na taadhima busara na hekima hachelewi kusema tuendelee kumtazamia bwana huku tukichochea karama zetu za uvumilivu!
Mama usifanye hivyo bhana! Muache atuwekee!
umeshasikia hakuna muweka picha hapo
Aisee! Kwani ofisi za kuchulia forms zimeshafungwa?Nawatakia weekend njemaaaView attachment 1529867
Hahaahah nkamu wewe wa kunifanyia hivyo mimi? Usinitetemesheeeee


nkamu huu uvumilivu utatushinda nkamuYaani ukikaa wiki bila kuzungukia JF, unakosa mambo mengi sana aisee!
Kwa hiyo unataka mama yangu atoke Jf? Utampata nani wa kumpostia maparachichi?



bichwa kama parachichi.Ndo chakula hicho😅😅Chakula kiko wapi naona mboga tu hapo?
Sasa tutawachangia wangapi na wapo wengi..Acha tu tuendelee kuwaombea
Hahahaha, sawaDuu chachandu
Hahahaha, ni chachandu IPI sasa nisiwe nimeelewa vbyDuu chachandu