Hahahaha, ni chachandu IPI sasa nisiwe nimeelewa vby





watu mna vichwa vibovu aiseeHahahaha, nisamehe Mkuu ,alimaanisha nn kwaniwatu mna vichwa vibovu aisee
Hahahaha, sawaHahhahaa ni kama kisamvu kina tafsiri nyingi...nzuri mbaya na zenye ukakasi
Hasa sisi tunaokaa na wazaramo huku ununio, wana codes nyingi sanaHahhahaa ni kama kisamvu kina tafsiri nyingi...nzuri mbaya na zenye ukakasi



hata mimi sijui alichomaanisha ila tu umenichekesha ulivyomaanisha vingine, inaonekana siku hizi kila kitu kina maana nzuri na mbaya maana sikutegemea kama hadi chachandu nayo inaweza kuwa na maana nyingine zaidi ya hii tunayoijua.Hahahahahata mimi sijui alichomaanisha ila tu umenichekesha ulivyomaanisha vingine, inaonekana siku hizi kila kitu kina maana nzuri na mbaya maana sikutegemea kama hadi chachandu nayo inaweza kuwa na maana nyingine zaidi ya hii tunayoijua.
Nimekumbuka kisamvu cha kopo kamwe sikujua ni matusi mabayaHasa sisi tunaokaa na wazaramo huku ununio, wana codes nyingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, asee hy sasa ni balaa samvu la kopo ,hahahahaNimekumbuka kisamvu cha kopo kamwe sikujua ni matusi mabaya
Mango,tomato,coconut chutney??ipi anko unatakaHivi tuna wapishi wazuri wa chatne humu?
Kiatu👌👌
Jirani unanichanganya na avatar mpya, najuaga chakorii ni ntu mwenye mguu wa bia, kiuno cha dondora, tako kama lotehela tena
Mimi ni mzima kabisa aise namshukuru Mungu
Jirani endelea kujichanganya tu hakuna namna🤣🤣Jirani unanichanganya na avatar mpya, najuaga chakorii ni ntu mwenye mguu wa bia, kiuno cha dondora, tako kama lote
Sent using Jamii Forums mobile app
Jirani endelea kujichanganya tu hakuna namna
Sasa jirani hizi sifa si zangu mbona!!utakuwa umenichanganya jirani yangu
Ni wewe ah unajikataaje mamiloo 😅😅😅ni katika harakati za kuendelea kujichanganya jirani yangu.🤪🤪🤪nakuzoom tu🤣🤣