Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,797
- 182,967
Jiite nyani wa buyenze.Yapo. Niliwaonea huruma we na Makiseo wako. Nyote hamfai [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
View attachment 1536241
Jiite nyani wa buyenze.Yapo. Niliwaonea huruma we na Makiseo wako. Nyote hamfai [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
View attachment 1536241
Kuliko wewe uone, ni bora tu asiweke.Hutaki atimize ahadi yake? We nawe vipi?
Heaven Sent weka picha usituchezee akili. Jael keshapatikana. Weka picha pulizi. Timiza ahadi [emoji1545][emoji1545]
[emoji1787][emoji1787]Kaka usimfokee ukimfokea ndiyo utaharibu! Tumuombe kwa heshima na taadhima busara na hekima hachelewi kusema tuendelee kumtazamia bwana huku tukichochea karama zetu za uvumilivu!
Akikusikiliza mimi na yeye undugu wafa leo.
Hakuna muweka picha hapo, anawatetemesha tu.Mama usifanye hivyo bhana! Muache atuwekee!
Ai givapu. Kibiblia ukiweka ahadi ni lazima utimize. Usipotimiza ahadi hiyo itakuandama tu. Sasa sijui huku kubembelezana kunatoka wapi. Aweke picha mtumishi [emoji51][emoji51][emoji51]Kaka usimfokee ukimfokea ndiyo utaharibu! Tumuombe kwa heshima na taadhima busara na hekima hachelewi kusema tuendelee kumtazamia bwana huku tukichochea karama zetu za uvumilivu!
Kama tatizo ni miye basi naondoka rasmi. Mwambieni basi awawekee. Sipo !!![emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]Kuliko wewe uone, ni bora tu asiweke.
Wasalimie uendako.Kama tatizo ni miye basi naondoka rasmi. Mwambieni basi awawekee. Sipo !!![emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
We naweee! We yako iko wapi hadi ung'ang'anie za wangine?Ai givapu. Kibiblia ukiweka ahadi ni lazima utimize. Usipotimiza ahadi hiyo itakuandama tu. Sasa sijui huku kubembelezana kunatoka wapi. Aweke picha mtumishi [emoji51][emoji51][emoji51]
Jiite nyani wa buyenze.
Mtumishi atimize ahadi. Usikwepeshe topiki [emoji51][emoji51][emoji51]We naweee! We yako iko wapi hadi ung'ang'anie za wangine?
Hivi wale samaki uliniahidi wako wapi[emoji134]
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Mtumishi atimize ahadi. Usikwepeshe topiki [emoji51][emoji51][emoji51]
Hujawa na utayari wa kuwapokea JaelHivi wale samaki uliniahidi wako wapi[emoji134]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji1745][emoji1745][emoji1745]Hujawa na utayari wa kuwapokea Jael