Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,383
Jiite nyani wa buyenze.
Jiite nyani wa buyenze.
Kuliko wewe uone, ni bora tu asiweke.Hutaki atimize ahadi yake? We nawe vipi?
Kaka usimfokee ukimfokea ndiyo utaharibu! Tumuombe kwa heshima na taadhima busara na hekima hachelewi kusema tuendelee kumtazamia bwana huku tukichochea karama zetu za uvumilivu!


Akikusikiliza mimi na yeye undugu wafa leo.
Hakuna muweka picha hapo, anawatetemesha tu.Mama usifanye hivyo bhana! Muache atuwekee!
Ai givapu. Kibiblia ukiweka ahadi ni lazima utimize. Usipotimiza ahadi hiyo itakuandama tu. Sasa sijui huku kubembelezana kunatoka wapi. Aweke picha mtumishiKaka usimfokee ukimfokea ndiyo utaharibu! Tumuombe kwa heshima na taadhima busara na hekima hachelewi kusema tuendelee kumtazamia bwana huku tukichochea karama zetu za uvumilivu!



Kama tatizo ni miye basi naondoka rasmi. Mwambieni basi awawekee. Sipo !!!Kuliko wewe uone, ni bora tu asiweke.




Wasalimie uendako.Kama tatizo ni miye basi naondoka rasmi. Mwambieni basi awawekee. Sipo !!!![]()
We naweee! We yako iko wapi hadi ung'ang'anie za wangine?Ai givapu. Kibiblia ukiweka ahadi ni lazima utimize. Usipotimiza ahadi hiyo itakuandama tu. Sasa sijui huku kubembelezana kunatoka wapi. Aweke picha mtumishi![]()
Jiite nyani wa buyenze.
Mtumishi atimize ahadi. Usikwepeshe topikiWe naweee! We yako iko wapi hadi ung'ang'anie za wangine?



Hivi wale samaki uliniahidi wako wapi

Hujawa na utayari wa kuwapokea JaelHivi wale samaki uliniahidi wako wapi![]()