Basi hiyo siku nimeandika hiyo comment,juu ya hiyo comment niliweka picha zangu nyingi tu kama huamini pitia comments jirani na hiyo
Sema hauko active kwenda na kasi ya picha hapa.
Mtu anafikiri ni wewe kabisa kumbe sio picha zenyewe za kudownload
Nahisi ni fikra tu mtu akiona ke ameweka avatar ya mwanamke mzuri anajiaminisha kuwa huyu ke lazima awe mzuri , wakati kiuhalisia sio kabisa .
unakoelekea nitaanza kuwaambia ukweli hao unaowadanganya kuwa picha zako umeweka kule juu kwenye hizo comments unazozisema, hebu acha kupotosha wenzio.
unakoelekea nitaanza kuwaambia ukweli hao unaowadanganya kuwa picha zako umeweka kule juu kwenye hizo comments unazozisema, hebu acha kupotosha wenzio.
sasa kwanini wewe unataka wenzio waoneshe sura zao wakati wewe hata kidole chako hautaki kuweka, we ngoja nitaanza kuwafuata pm mmoja mmoja nawaambia unawadanganya.
Tulia dogo!
Nataka watu waendelee kuniona kauzu washindwe hadi kuja pm kama kipindi kile maana naona kuna watu siku hizi wameanza mazoea mabaya na mimi!
Ngumu sana kuficha identity, sijui unawezaje lakini muda mwingi mwandiko wa mtu unaweza kutoa taswira halisi ya jinsi alivyo. Imagine mtu yupo jf tangu 2010, anaweza kufake lakini kuna mahali tu atashindwa.
sasa kwanini wewe unataka wenzio waoneshe sura zao wakati wewe hata kidole chako hautaki kuweka, we ngoja nitaanza kuwafuata pm mmoja mmoja nawaambia unawadanganya.