Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja nije huko PM napenda wanawake makauzu na wababe ka wewe.

Hahaha sijui kama umenielewa mkuu! Mimi kiuhalisia siyo kauzu wala mbabe ila humu ndiyo huwa nafake ukauzu na ubabe ili tu nisisumbuliwe pm!

Sababu najua wanaume wengi wa kiafrika mnapenda wanawake wapole na wanyenyekevu ili muwatawale vizuri! Wababe huwa mnapiga na kusepa tu!
 
Ngumu sana kuficha identity, sijui unawezaje lakini muda mwingi mwandiko wa mtu unaweza kutoa taswira halisi ya jinsi alivyo. Imagine mtu yupo jf tangu 2010, anaweza kufake lakini kuna mahali tu atashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…