Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Mimi nashinda kotekote.
Nikitaka kucheka huwa nakuja Huku na siasani.

Buana wee zile nyuzi za Umoni ilikuwa patashika nguo kuchanika
Kama movie za kikorea...huelewi mwwendelezo utakuwaje
Walitifuana watu.
Wewe ulikuja wakati tayari kuna nyuzi zimefutwa.

we unadhani mie umomi nimeanza kumsoma leo, vituko vyake na malalamiko yake nilianza kusoma kitambo na ndiyo maana ikawa rahisi kugundua kuwa yule mtu hana stress kiasi kile kama watu wengi walivyokuwa wanadhani.
 
we unadhani mie umomi nimeanza kumsoma leo, vituko vyake na malalamiko yake nilianza kusoma kitambo na ndiyo maana ikawa rahisi kugundua kuwa yule mtu hana stress kiasi kile kama watu wengi walivyokuwa wanadhani.
Duh
Mimi nilikuwa sijawahi kumuona
 
Rory
Aurora

Aise kumbe ndiyo wewe? Habari za kupotea mkuu?
Nilikuwa najiuliza siku hizi umepotelea wapi kumbe upo nasi humu humu? Halafu mkuu hivi unaendaga kwa mod gani huyo anayekubali kukubadilishia usernames muda wowote unaotaka mbona mimi wamenizingua?
 
Back
Top Bottom