Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Mimi nashinda kotekote.
Nikitaka kucheka huwa nakuja Huku na siasani.
Buana wee zile nyuzi za Umoni ilikuwa patashika nguo kuchanika
Kama movie za kikorea...huelewi mwwendelezo utakuwaje
Walitifuana watu.
Wewe ulikuja wakati tayari kuna nyuzi zimefutwa.



we unadhani mie umomi nimeanza kumsoma leo, vituko vyake na malalamiko yake nilianza kusoma kitambo na ndiyo maana ikawa rahisi kugundua kuwa yule mtu hana stress kiasi kile kama watu wengi walivyokuwa wanadhani.


