Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aise kumbe ndiyo wewe? Habari za kupotea mkuu?
Nilikuwa najiuliza siku hizi umepotelea wapi kumbe upo nasi humu humu? Halafu mkuu hivi unaendaga kwa mod gani huyo anayekubali kukubadilishia usernames muda wowote unaotaka mbona mimi wamenizingua?
Nzuri tu dear, habari ya huko ? Sikuwepo Kama miezi miwili hivi . Hahaha naendaga kwa Max ananibadilishia .
Kama Safari hii nilisahau password ya akaunt yangu ikabidi nifungue id nyingine niwasiliane na mods mwisho wa siku wakaunganisha kuwa Id moja na jina likabadilishwa.
 
Nzuri tu dear, habari ya huko ? Sikuwepo Kama miezi miwili hivi . Hahaha naendaga kwa Max ananibadilishia .
Kama Safari hii nilisahau password ya akaunt yangu ikabidi nifungue id nyingine niwasiliane na mods mwisho wa siku wakaunganisha kuwa Id moja na jina likabadilishwa.

Oohh kwahiyo na mie nikitumia gia hiyo ya kujifanya nimesahau password wanaweza wakanibadilishia eenh
 
Fungua nyingine halafu uwatafute uwaeleze then watakuomba email uliyofungulia . Max ushamwomba akakataa ?

Mimi bwana kuna kipindi nilibadilibadili hapa katikati sasa mara ya mwisho kuwafuata wakanigomea ikabidi niwabembeleze nikawaahidi kuwa sitabadili tena milele hii ndiyo itakuwa mara ya mwisho kwahiyo nikajifunga mwenyewe. Wakasema nilichokiahidi kitawekwa kwenye kumbukumbu za JF nikakubali.
 
Mimi bwana kuna kipindi nilibadilibadili hapa katikati sasa mara ya mwisho kuwafuata wakanigomea ikabidi niwabembeleze nikawaahidi kuwa sitabadili tena milele hii ndiyo itakuwa mara ya mwisho kwahiyo nikajifunga mwenyewe. Wakasema nilichokiahidi kitawekwa kwenye kumbukumbu za JF nikakubali.
Kwann huwa unabadilibadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bwana kuna kipindi nilibadilibadili hapa katikati sasa mara ya mwisho kuwafuata wakanigomea ikabidi niwabembeleze nikawaahidi kuwa sitabadili tena milele hii ndiyo itakuwa mara ya mwisho kwahiyo nikajifunga mwenyewe. Wakasema nilichokiahidi kitawekwa kwenye kumbukumbu za JF nikakubali.
Kha kumbe hapo ndo shida sasa Ila ungejaribu tena uone kama watakubali .
 
Back
Top Bottom