Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nashinda kotekote.
Nikitaka kucheka huwa nakuja Huku na siasani.

Buana wee zile nyuzi za Umoni ilikuwa patashika nguo kuchanika[emoji1787][emoji1787]
Kama movie za kikorea...huelewi mwwendelezo utakuwaje[emoji23][emoji23]
Walitifuana watu.
Wewe ulikuja wakati tayari kuna nyuzi zimefutwa.
Saint Anne
 
Mimi nawaonaga Kama comedian hivi maana umishamzidi hoja anakuoachina uanaharakati,Mara usingle mother,Mara anakupachika miaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani anatapatapa Kama maharage yanayofurumia motoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanarukaruka kama bisi mie siku hizi nimeamua kuwapotezea tu
 
Yaani dunia isiwe na maana kwa ajili ya wapiga ramli wachache ??
Haiwezi tokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi huwa nawaza Sasa huyu kanipigia ramli na bado kukasirika amekasirika yeye, na Mimi nikianza kumpigia ramli si atalia kabisa.
Naishia kumhurumia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila akili zako
 
Yaani acha tu. Ulianza kupoa baada ya wale wachangiaji maarufu kuanza kuhepa mmoja baada ya mwingine wapo walioaga na wapo waliojisepa kimya kimya tu.
Mwanzoni vitu huwa vinaanza vizuri mno . Ila wakaja watu kulalamika huu Uzi ni show off kwamba Kila mtu anapost Cha kwake .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanarukaruka kama bisi mie siku hizi nimeamua kuwapotezea tu
Yaani Mimi huwa najuaga tu makombora yanakuja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi Hadi nilikuwa naumwa kichwa kwa sababu ya usingizi maana muda wote nilikuwa nakodoa macho humu.

Basi juzi nikapanda kule juu nikawa nasoma jinsi ulivyotiririka dada wa watu[emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani hata mimi kuna siku huwa narudi kule juu naanza kusoma baadhi ya comments zilizonifurahisha aise basi nacheka mwenyewe huku nikihuzunika kwa kukimiss kile kipindi, wewe ulikuwa unasoma comments za mwezi gani kwanza.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani hata mimi kuna siku huwa narudi kule juu naanza kusoma baadhi ya comments zilizonifurahisha aise basi nacheka mwenyewe huku nikihuzunika kwa kukimiss kile kipindi, wewe ulikuwa unasoma comments za mwezi gani kwanza.
Nilisoma zile ulizokuwa unafunguka hadi miaka Yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikasoma na za Lizarazu...
Nikaenda kumsoma na Kapeace...nikasoma na ule mtifuano ulitokeaga humu[emoji2092]
 
Back
Top Bottom