Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Ndio hapo sasaKwani humu mtu akikubandika jina kwani anakulisha?tumo humu kufurahi tu.
Wakitupachika Wala hatupungukiwi chochote na maisha yanasonga na sisi tutabaki kuwa sisi




Yaani tatizo Watu ukiwashinda hoja wanaanza kukuvamia mwenyewe...jf huwa inanichekesha Sana





