Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwani humu mtu akikubandika jina kwani anakulisha?tumo humu kufurahi tu.
Ndio hapo sasa
Wakitupachika Wala hatupungukiwi chochote na maisha yanasonga na sisi tutabaki kuwa sisi[emoji847][emoji847][emoji847][emoji4]

Yaani tatizo Watu ukiwashinda hoja wanaanza kukuvamia mwenyewe...jf huwa inanichekesha Sana[emoji1787]
 
Kwan Kuna psychologist humu wanaochunguza watu? Me nakumbuka kuna kipnd nilikaa na psychologist mmoja alinidefine tofauti na jins nilivyo ndo maana hao watu sometimes siwaamini

Hahaha mkuu wapo humu! Watu ambao wakikosaga hoja kazi yao ni kuanza kuhusianisha unachoandika humu na tabia zako halisi!

Mimi nilishakaa hadi na wachungaji na wakanidescribe tofauti hivyo hadi kesho siwaamini! Sembuse hao wanasaikolojia!
 
Hahaha mkuu wapo humu! Watu ambao wakikosaga hoja kazi yao ni kuanza kuhusianisha unachoandika humu na tabia zako halisi!

Mimi nilishakaa hadi na wachungaji na wakanidescribe tofauti hivyo hadi kesho siwaamini! Sembuse hao wanasaikolojia!
Unadhani hata ni wanasaikolojia basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni wahuni flani wamejipachika hicho cheo Cha upiga ramli[emoji2092]
 
Wale wa kutupachika single mother nilishawazoea mbona
Tena kuna mwingine kanipachika mchana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wapambane na hali zao na saikolojia zao[emoji2092]
Maisha ni mafupi sana kuwa siriaz kila muda

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wana muda wa kufuatilia ujinga aiseee
 
Back
Top Bottom