. Vibabu vingine jomoneeeh unajiuliza hiki kweli kinahimili mkiki, maan unaona kina mvi had ndevu achia za kule state house. Duuuuuuh
Nabaki kushangaa hiiiiiiiiiiiiiiiiii
. Vibabu vingine jomoneeeh unajiuliza hiki kweli kinahimili mkiki, maan unaona kina mvi had ndevu achia za kule state house. Duuuuuuh
Nabaki kushangaa hiiiiiiiiiiiiiiiiii
uzoefu wapi mam, hapana si nawaona kwa marafiki zangu, siku hiyo ndinga kaliih V8 ikatua pale magufuli hostel, jamaniiiih kimeshuka kibabuuh uwiiiiiiiih mungu wangu anihurumie khaaaah.
Bas nkaona mdada m1 kaenda pale wakakumbatiana na kubusiana shavun then wakaingia ndan ya ndinga ile na kuelekea njia ya mliman city,
Heeeeh Dunia simama nishuke hapan kwa kweli, hivi vizee vistaafu vinawaibia san vijana slayers wao.