Selfika na JF: Snap it. Show it

unauzoefu ni kinyama
.
uzoefu wapi mam, hapana si nawaona kwa marafiki zangu, siku hiyo ndinga kaliih V8 ikatua pale magufuli hostel, jamaniiiih kimeshuka kibabuuh uwiiiiiiiih mungu wangu anihurumie khaaaah.

Bas nkaona mdada m1 kaenda pale wakakumbatiana na kubusiana shavun then wakaingia ndan ya ndinga ile na kuelekea njia ya mliman city,

Heeeeh Dunia simama nishuke hapan kwa kweli, hivi vizee vistaafu vinawaibia san vijana slayers wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…