Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
255765430141_status_c431cf4044ee4265ab28e537f2f6ba6a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuacha kabisa sitoweza. Ila nilijitahidi kupunguza.

Misosi ya wanga inanishinda siku hizi, nikila wali mchana mpaka jioni nakuwa nimeshiba shiba tu. Kama leo nilikula wali samaki mchana lakini mpaka saa hizi sioni dalili kama nitakula usiku huu... Chips hazichoshi sema kitumbo kitajaa nishindwe kuvaa baadhi ya vi blouse

Maisha ya usingle magumu yanatia uvivu kupika pika, kula restaurant kila mlo ni kujitia umaskini , nasubiri Dec nirudi kwetu nikanenepe
Duh pole sana ila sasa unakuwaje na maisha ya Usingle sasa!!

Mh mpaka mwezi wa kumi na mbili kazi si itakuwepo!??!
 
Duh pole sana ila sasa unakuwaje na maisha ya Usingle sasa!!

Mh mpaka mwezi wa kumi na mbili kazi si itakuwepo!??!
Hivi nikisema single mnaelewaje? Me namaanisha vile kuishi mwenyewe lazima upate uvivu wa kupika pika.

Kazi haipo nishafika 53 eti. We nipe tips tu nifike 56 mwisho. Nikinenepa sana nitakuwa na mashavu me sitaki
 
Back
Top Bottom