Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,404
Utapajua tu sio mbali na mafiati pale ,,, au Kuna chimbo maeneo yetu ya uyole karibu na sijabaja hosp
Yaani vile viumbe vya ajabu ajabu vilivyombo humo nikakufikiria tu daaah!!![]()



kuna kitu nimekumbuka nikacheka mwenyeweNacheka ila naogopa



Tatizo machimbo ya walevi hayoUtapajua tu sio mbali na mafiati pale ,,, au Kuna chimbo maeneo yetu ya uyole karibu na sijabaja hosp
Hahahaha wew utagonga tu mdudu unachapa lapa ligi utatuachia sisi washika dau
Hebu pic ako dea nione lolNi bahati tu kwa leo sbb nilikuwa busy then network ya leo huku nilipo ni Mungu ndiyo anajua
Achiaaaaaaaaaaa.Naachia mzigo full soon
Sasa ole wako usinipe
Nyingine zote nilizopata utazisikia hapa tu
Sent using Jamii Forums mobile app



wacha mambo yakoYesu wangu Mimi
Ningekuwa wa kishua ningeshinda shambani??
Halafu ujue nimezaliwa bush Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo natuma pic angu full verifieeeeeeeh, uwiiiiiiih kaen mkao was kula, nalipuasasa hivi



UsijariiiiihUsisahau kunitag rafiki![]()
Usisahau kuscrenshot kama itanipitaUsisahau kunitag rafiki![]()
Aisee mungu fundi chocolate colour wanaita eeh