Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Usisahau kuscrenshot kama itanipita
Nawee usisahau kama itanipita
Usisahau kuscrenshot kama itanipita
Waaaah!u look dope! Hii ndo miili ya shots...
Kwani kuzaliwa bush maana yake ndiyo shida? Si ni maamuzi tu hata Bill Gates na mke wake wangeweza amua kutoka marekani na kuja kuzalia bongo!




Weeee takuchapa lol oooohNaiomba hiyo saa![]()
Teh teh tupo wengi aisee
Kwa leo sijauona kwenye list ya what's new' labda ukanitagKhaa tena mbona ndiyo nimetoka kumuambia sasa hivi? Nenda kaangalia kwenye ule uzi!
Kwa leo sijauona kwenye list ya what's new' labda ukanitag
Huhuhuhuh tanteeeeeh dea lol, wee mbna pia macho yako mazuriiiiiiihDogo una macho mazuri
Kwa leo sijauona kwenye list ya what's new' labda ukanitag
Kila baada ya comment kuna picha, huzioni au?Jael , Zoë , Saint Anne , Depal wadada kama wadada mmee trend sana kwenye haka kauzi, maneno ila picha ndiyo hamuweki![]()
Moderator uliyepitia reported comments Mungu akubariki sana![]()
Saint Anne problem solvedau ni mimi nilikosea nikaweka as attachment ndiyo maana ikanifanyia uswahili.






