Selfika na JF: Snap it. Show it


Oohh kumbe Disney ni wasambazaji tu hapo sawa, maana nilisikia 2006 waliinunua Marvel baada ya kufilisika kisha ndiyo Kevin Feige akaingia.

Kwa kweli DC inabidi wajiangalie wanakosea wapi, halafu hata The Flash naona imechezwa na actors kadhaa though mie namjua huyo Ezra Miller tu.

Haha mwenyewe kama Marvel ni utoto basi acha niwe mtoto tu, tena mie huwa nafall in love hadi na zile stunts wanazofanya na namna wanavyopigana.

Daah Stan Lee masikini alishajifia mzee wa watu lakini Marvel bado hawajaacha kumpa heshima yake, he is a genius kwa kweli acha akumbukwe tu.
 
Kuna mtu sitaki anione! Yule coca ya stick [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Jomoneeeeeeh hebu nioneshe kidogo mmmmh [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
cocastic atakushushua ngoja aone comment yako! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] jomoneeeeh dea hebu kwani nione bas na mie, mmmmh au sio HB weee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Msitufokee bwana we!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…