ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 696
- 1,629
you are welcome...ukuwe huru kbisaNtakuja nijifunze kupika lol

you are welcome...ukuwe huru kbisaNtakuja nijifunze kupika lol

thank alot....you are welcome Chakorii
Tanteeeeeeehyou are welcome...ukuwe huru kbisa![]()
Ugali uko wapi namhala?
Unaelekea wapi mkuu?Hii ngoma si yakitotoView attachment 1518016



Taiwan hiyo mkuu.Unaelekea wapi mkuu?
Usafiri huo siupendi yaani basi tu hakuna namna. Yaani hapo ngoma bado mbichi dah...Masaa 12 mawinguni uwiii....Safiri salama aisee![]()
Kama ni mimi hapo ningeutandika usingizi mpaka wangeshangaa. Cha muhimu tu msosi ukija wanishtueTaiwan hiyo mkuu.
Kinacho chosha ni hayo masaa.
Amen kiongozi




Mkuu nina flatbed seat. Hivyo ni usingizi mwanzo mwisho nikiamka nacheki movie.Kama ni mimi hapo ningeutandika usingizi mpaka wangeshangaa. Cha muhimu tu msosi ukija wanishtue![]()
Hili ndilo la mwisho. Kesho tena we na Makiseo wako mjiandae wallahi. Furaha tupu yaani
View attachment 1517816





Naomba kuona selfie YakoNaam Binti Saint Anne