Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Wivu sina na roho yangu ipo mahala pema kabisa...
Weuweee 😆😆 chaliifrancisco hivi huyu Jojo anajua kama mimi nipo Liverpool!!
Bhasi nina kila sababu ya kukisifia hicho cha kikeHiki ni cha kike![]()


Kwani huu uzi unahusu nini?
Embe liko konki mkuu..😉😉Hili ndilo la mwisho. Kesho tena we na Makiseo wako mjiandae wallahi. Furaha tupu yaani
View attachment 1517816
Unahusu picha ❤️Na madiko diko loh!!Kwani huu uzi unahusu nini?
Mbna kama umestuka...😳😳😳Kwani huu uzi unahusu nini?
Haja ndogo hiyo vipi mkuu...mi mtoto wa kiumeni loh..😅😅kuwa makiniBhasi nina kila sababu ya kukisifia hicho cha kike
Naomba nijisaidie haja ndogo Chakorii![]()
Sijui kama unajua kwamba chaliifrancisco hapendi wasaliti
Yaaaani leo hii unawakana wanaChelsea wenzako?
Mbona mko pazuri tu?![]()












Asante. Njoo tulile pamoja. Makiseo na Jael hawapo.Embe liko konki mkuu..![]()







Haja ndogo hiyo vipi mkuu...mi mtoto wa kiumeni loh..kuwa makini

haya bhanaNi kwema sana sijui wewe..haya bhana
Vipi kwema lakini mkuu
Mimi niko poa/salama kabisa mkuuNi kwema sana sijui wewe..
Siku yako ilikuwaje..
Leo nimewahiHili ndilo la mwisho. Kesho tena we na Makiseo wako mjiandae wallahi. Furaha tupu yaani
View attachment 1517816

Lengo langu ni tunda. Mkono achana naoLeo nimewahi
Umetuonesha mkono au tunda?



Hawapo wameenda wapi wewe msukuma?Asante. Njoo tulile pamoja. Makiseo na Jael hawapo.
Nitakumenyea![]()
Ni jambo la kheri mkuu..tumshukuru MunguMimi niko poa/salama kabisa mkuu
Siku yangu imeenda/inaenda vizuri