Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Grab a slice only if you're for anything but Manchester United.
...nimejaribu na leo kupika mboga.Hongera unajua kupika vizuri kuliko hata sisi dada zakoduuh, kweli ubachela kaz...nimejaribu na leo kupika mboga.View attachment 1517705View attachment 1517706
BAba Fred ni wewe huyu..😳😳😳duuh, kweli ubachela kaz...nimejaribu na leo kupika mboga.View attachment 1517705View attachment 1517706
Hongera unajua kupika vizuri kuliko hata sisi dada zako
shukran mkuu,...sku 1 moja si mbaya na sis kuingia jikon.BAba Fred ni wewe huyu..
Sio kwa chicha hilo loh!!

ni mm ndio....sunajua tna cku 1 moja lazma ujikumbshie.Nsije sahau kupika kabisa bureeAisee! Wewe fundi kweli kweliduuh, kweli ubachela kaz...nimejaribu na leo kupika mboga.View attachment 1517705View attachment 1517706
Kweli bossshukran mkuu,...sku 1 moja si mbaya na sis kuingia jikon.
Dah Yaani Wewenilikuwa nakuonyesha nilivyopigwa.

Wivu sina na roho yangu ipo mahala pema kabisa...Ni wivu tu
Kweli kutangulia sio kufika 🤣🤣🤣🤣
Piga kelele moja kwa Chelsea yake weuweeeeeeeee 😂😂😂😂
Nimependa kucha na vidole vyako Chakorii
🤣🤣🤣🤣endelea kujichanganya mkuu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Nimependa kucha na vidole vyako Chakorii
Aiseee!!...nimeingia cha kike au cha kiume?endelea kujichanganya mkuu
![]()
Hiki ni cha kike😅😅😅Aiseee!!...nimeingia cha kike au cha kiume?